Najua mimi ni orphan, na nime-grow-ia ghetto, lakini siwezi stand story za corruption. Niko ready kwa any challenge!
Sukuma Za Sifa! Kumekauka!
Poa... eh, si tuchekiane baadaye?
Wee! Nini unahepa hivyo?
Niaje Chuxx?
Si u-come u-buy sukuma woshe?
Eh, nina allergy flani ya sukuma siku hizi‌ DOKI daktari alisemaNa si hizo ni sukuma umebeba? Acha game. Una-buy wapi siku hizi?
18
Kwa yule Shosh pale kona. Lakini sina ubaya msuper si unajua?