Baba Charlie Anaangukia Dame!
saaaaaasa...
hawa kuku wetu wameenda wapi?
charlie! kwani umerogwa na hiyo mpira?!?! Kuja nikupe kazi!
niko na date with a special lady leo! ooooh!
na ninataka kumpatia kuku moja kama zawadi, lakini siwaoni kuku wetu! wametuhepa tena!
warudishe kabla giza iingie!!! haujui kuku ni pesa?!
24