B8_pg01.pdf
1
11/09/2010
09:32:32
hapo awali...
chief aliwaambia gang wamtafute dj b na kufunga shujaaz.fm...
...lakini by mistake gang walimshika dj b mwingine aliyekuwa aki-play kwa concerts...
...na mamake dj b yule mwingine hakufurahia alipowapata kwa nyumba yake!...
...ni important sana tukatae pressure za gangs na wale wanataka kutunyang’anya biashara na pesa zetu.
BOYIE
kama ushawahi kuwa victim wa ma-gangs ni poa kuzungumza na mtu ako kwa...
Siku za mwizi ...mamlaka kama chief, ili ku-stop hii behaviour!
boosh, naenda kuambia chief vile wale vijana wakora walikufanyia! hatuwezi kuwaacha hivyo!
3