mnajua, ukulima ni kazi vijana! ngumu! unafaa kucheza karata tu! kukaa macho kila... zzzz... wakati...
fungueni mlango!!! nawaskia hapo ndani! fungueni mlango!!!
18
agh! tucheze game ingine!
oho! Nimeshinda tena!
wamenikujia! madeni zangu zote zitaniua! poleni vijana wangu, niljaribu kuwalea vizuri lakini nimeturusha kwa shida...