itakuja!
Mnataka maji‌.Chagua
Stima?
godpapa!
ataleta!
atawapatia!!
Ati mnataka?... eeeh?...
Hata hiyo, godpapa atawaletea! nitamwambia!
Ni muhimu tupate water connection iliyo karibu kwetu. Lakini tunahitaji nini ili kuwa na water connection?
Si tujaribu tuwekewe maji kwa mtaa
Lakini tutatoboa kweli?
Tu-apply kwa watu wa water. Bora tujiunge pamoja
15