likizo imeisha! vijana wangu hawatakaa nyumbani fwaa!
unajua, meneja hafai kuchelewa...
lakini baba...
boss alisema ataniita. ofisi yetu inahama...
kwanza huyo coach kabila yao ni ile mbaya...
14
unaenda wapi?!
badala ya kuwa hardworking uwe meneja kama bratha yako kila wakati ni mpira mpira tu!
mwagilia shamba maji. shika bucket!!!