tuanze tena
boyie ameunda secret station kwa keja yake.
leta dooh ya security!
sina dooh!!
baada ya kumaliza form 4 mabeste wake wengi wame-join self-help group
lakini naweza wa-show njia zingine za kumake chapaa!
Tuma SMS kwa 3008 tusaidie vijanaa!
na sasa wanaitisha dooh kwa nguvu kutoka kwa wenyeji wa area yao...
o-e !!
boyie wacha kujifanya hutusikii!
wapi ile dooh ya security?
ulidhani tutasahau?
mlipokuja keja yangu niliwaambia nitawapatia ideas za ku-make chapaa!
ishia na upuzi zako tunakuja kukuona!
3