boyie
shujaaz fm! vipi mafans, ni mimi boy wenu dj b! nilipigia fan mmoja simu na akasema haya...
dj b, thanks kwa show yako! iliendaje na friend aliyechukuliwa mali yake na auctioneers?
chief, kwanini hukuzuia auctioneers kuchukua mali yangu?
uli-fail ku-provide security kwa community yetu na nikaumizwa na majambazi!
mume wangu, yaani ulikataa kusaidia huyo mama kutokana na auctioneers kwa sababu ya kabila lake? mkabila!
nitawa-spare kurushwa prison mkiniambia dj b ni nani!!! s,
ang
mag
3