Skip to main content

21.c - Charlie Pele

Page 1

hapo mbeleni...

polisi anayeitwa matata, mwenye anampenda purity, alimpiga taabu juu ya kum-slice dem. taabu akaenda kujaza p-3 form za kumstaki matata...

lakini kwa vile mshtakiwa alikuwa ofisa, kesi ikapelekwa kwa o.c.s....

A II T A T MA sawa, dj b, asante sana!

Ama ni-give up? Msinisahau nikitupwa ndani!

18

...ati mmeambiwa aje?

taabu usife moyo! dj b alini-show kila mtu yuko innocent hadi a-proviwe kuwa guilty!

ji-defend na sheria!

ninangojea kuitwa kwa o.c.s...

sasa taabu unainigia shida kama hizi juu ya msichana mwenye hata si wa kabila yetu???

sawa, taabu, unaweza kuingia...


Turn static files into dynamic content formats.

Create a flipbook
21.c - Charlie Pele by Shujaaz - Issuu