hapo mbeleni...
polisi anayeitwa matata, mwenye anampenda purity, alimpiga taabu juu ya kum-slice dem. taabu akaenda kujaza p-3 form za kumstaki matata...
lakini kwa vile mshtakiwa alikuwa ofisa, kesi ikapelekwa kwa o.c.s....
A II T A T MA sawa, dj b, asante sana!
Ama ni-give up? Msinisahau nikitupwa ndani!
18
...ati mmeambiwa aje?
taabu usife moyo! dj b alini-show kila mtu yuko innocent hadi a-proviwe kuwa guilty!
ji-defend na sheria!
ninangojea kuitwa kwa o.c.s...
sasa taabu unainigia shida kama hizi juu ya msichana mwenye hata si wa kabila yetu???
sawa, taabu, unaweza kuingia...